Wilayah Pakistan: Kashmir Iliyokaliwa Itakombolewa tu na Maafisa wa Jeshi Wanaoitikia Amri ya Mwenyezi Mungu (swt) ya Kupigana Pekee
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Imekuwa miaka miwili tangu Raja Dahir wa zama zetu, Modi, kuiunganisha kwa nguvu Kashmir Iliyokaliwa mnamo 5 Agosti 2019.