Jumamosi, 11 Shawwal 1445 | 2024/04/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Chaneli ya Kiislamu ya Oasis: Mahojiano na Dkt. Nazreen Nawaz Kujadili Vipi Haki za Wanawake Zimefafanuliwa na Shariah yetu Tukufu?

[Chaneli ya Kiislamu ya Oasis]
"Vipi Haki za Wanawake Zimefafanuliwa na Shariah yetu Tukufu?"

Shari'ah (Sheria ya Kiislamu) inahifadhi heshima na hadhi aliyopewa mwanadamu na Muumba. Sheria hizi zinatokana na Qur'an Tukufu na Sunnah za Mtume ﷺ ambazo zinafafanua kwa kina haki zisizobadilika za kila mwanadamu. Zinatumika kama msingi madhubuti unaoonyesha wazi wakala wa mtu ndani ya mipaka iliyowekwa na Mwenyezi Mungu Aliyetukuka; ikilinganishwa na mifumo iliyobuniwa na mwanadamu ambayo haina mamlaka ya halali na kujiweka chini ya ufuatiliaji usio na mwisho wa ufafanuzi na usawa.

Jumamosi, 23 Jumada al-Ula 1444 H sawia a na 17 Disemba 2022 M

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu