Jumatatu, 28 Rabi' al-thani 1447 | 2025/10/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ahadi ya Mwenyezi Mungu na Matumaini Yanayon’garisha Ummah Wetu Na ni Vipi Kuomba Nusra Kama Ilivyoahidiwa na Mwenyezi Mungu kwa Kufuata Nyayo za Watu Adhimu kama Muhammad al-Fatih

“Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umuombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba”. [An-Nasr:1-3]

Soma zaidi...

Kunusurika kwa Trump na Mashtaka ni kwa Sababu Kura Zinaheshimiwa Zaidi kuliko Ukweli nchini Amerika

Mashtaka ya Trump yameigawanya Amerika. Baadhi wamesema kwamba katiba ya Amerika imepasuliwa, na katika ishara za kuonesha upinzani, na saa kadhaa baada ya Seneti kumuacha huru Trump, msemaji wa Bunge la Wawakilishi, Nancy Pelosi, alitoa ishara ya kushangaza kwa umma moja kwa moja kupitia runinga.

Soma zaidi...

Uokovu wa Taifa kutoka kwa Majanga yake na Kuhifadhi Hadhi yake kunaweza kupatikana tu kwa kufuata Njia ya Uislamu

Miezi mitatu imepita tangu kuanza kwa harakati maalumu nchini Iraq, ambayo imeongezeka kwa masafa na ukali ili kujumuisha sekta kubwa za watu, zilizowasilishwa katika utalaamu mbalimbali katika jamii kama vile madaktari, wahandisi, wanafunzi wa vyuo vikuu, wanasheria, wafanyibiashara, na wamiliki wa shahada za kisayansi pamoja na majeshi yasiyoajiriwa, na pia watu wa makabila kadhaa katika majimbo ya kati na kusini, na takriban watu wote – isipokuwa wachache - wamehusishwa katika maandamano haya kuunga mkono uasi baada ya kushindwa kuvumilia dhulma kubwa na ukweli wakuhuzunisha unaotokana na sera za mfululizo wa serikali zilizowekwa na kafiri tangu mwaka wa 2003.

Soma zaidi...

KUKAMILIKA KWA KAMPENI YA “UKOMBOZI WA KONSTANTINOPOLI”

Hizb ut Tahrir / Tanzania imekamilisha kampeni ya Ufunguzi wa Konstantinopoli iliyo zinduliwa mwanzoni mwa mwezi huu na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, kama kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio adhimu la Hijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraclius) ambao ulizingirwa kuanzia 26 Rabii' al-Awwal hadi 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili hadi 29 Mei 1453 M

Soma zaidi...

Jibu la Swali Dalalat Al-Iqtidha Kwa: Zahid Talib Na’eem

Katika kitabu Shakhsiya ya Kiislamu Juzuu 3 juu ya mada (Chochote kinacho pelekea Wajib hicho nacho ni Wajib) katika ukurasa wa 44 (nakala ya Kiarabu) kinaeleza kuwa: "na ima iwe sababu ni ya kisheria kama jinsi ya kuacha huru (watumwa) kwa lazima" kana kwamba anakusudia aya ya dhwihar, katika maneno ya Mwenyezi Mungu:

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu