Jarida la UQAB Toleo 80 - Septemba 2023
- Imepeperushwa katika Jarida la UQAB
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Septemba 2023 M.
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Septemba 2023 M.
Hadi leo, Quran bado inachomwa moto mara kwa mara katika mitaa ya Uswidi. Serikali yatangaza kwamba vitisho dhidi ya Uswidi vimeongezeka, na polisi wa usalama wamepandisha kiwango cha vitisho vya ugaidi kutoka 3 hadi 4.
Tokea wakati wa majanga ya vita vya Iraq na Afghanistan na kuibuka kwa China, wengi walizingatia kuwa kipindi cha kuwepo dola kuu moja pekee kina malizika. Wengi wanazingatia nguvu ya Marekani kidunia inaporomoka na kutaja hili kuwa ni dalili muhimu ya kumalizika kwa dunia yenye dola kuu moja.
Hizb ut Tahrir / Amerika yaomboleza mmoja wa wanaume wa Hizb ut Tahrir; Profesa Dkt. Taha Khalil Aldoss (Abu Osama) aliyefariki mnamo Jumapili, Agosti 20, 2023, akiwa na umri wa miaka 72.
Shirika la Habari la Reuters liliripoti, “JOHANNESBURG, Agosti 24 (Reuters) - Wakati mwanauchumi wa Uingereza alipounda neno fupi la BRIC miongo miwili iliyopita ili kuashiria Brazil, Urusi, India na China, hakuwa akilini mwake na muungano ambao ungejaribu kupinga utawala wa Magharibi katika masuala ya kilimwengu...
Matumizi ya dawa za mfadhaiko kwa kila mtu nchini Uturuki yaliongezeka kwa asilimia 76 katika kipindi cha miaka 12 iliyopita. Katika miaka 2 iliyopita, mauzo yaliongezeka kwa masanduku milioni 10. Uuzaji wa masanduku milioni 49 na elfu 857 ya dawa za mfadhaiko mnamo 2019 uliongezeka hadi masanduku milioni 54 na elfu 625 mnamo 2020 na masanduku milioni 59 na elfu 641mnamo 2021.
Mnamo tarehe 11 Agosti, shirika la habari la RIA Novosti liliripoti: "Muungano wa gesi tatu wa Urusi, Uzbekistan na Kazakhstan huenda ukapanuliwa ili kujumuisha nchi zengine, Dmitry Birichevsky, mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kiuchumi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi, aliiambia RIA Novosti.
Nina swali kuhusiana na rasimu ya katiba ya Hizb. Katika ibara ya 7 kifungu cha F inasema: "Dola itatabikisha hukmu zote za Sharia na mambo yote ya Shari'ah ya Kiislamu, kama vile miamala, kanuni za adhabu, ushahidi, mifumo ya utawala na uchumi miongoni mwa mengine kwa usawa juu ya Waislamu na Wasiokuwa Waislamu, Dola pia itatabikisha hayo hayo juu ya wale walio na mkataba, wanaomba hifadhi na wale wote walio chini ya mamlaka ya Uislamu kwa njia hiyo hiyo.
Akizungumza katika Siku ya Uhuru wa Dola ya Kibaniani, Mchinjaji wa Gujarat na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, alisema, "Sote tunajua kwamba nchi yetu ilivamiwa (na Waislamu) miaka 1200 iliyopita. Jimbo dogo (Sindh) na mfalme wake (Raja Dahir) walishindwa.