Marekani Yalazimisha Majadiliano kwa Pande Zinazozozana nchini Sudan baada ya Mchanganyiko wake wenye Sumu Kukomaa
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baada ya miezi mitatu ya mauaji, uharibifu, ufurushaji, uporaji wa mali ya umma na ya kibinafsi, na uharibifu wa miundombinu, Marekani imerejea kuzungumza kuhusu majadiliano kati ya pande zinazozozana nchini Sudan.