Jumanne, 14 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Madai ya Tovuti ya France 24 ni ya Uongo na ya Kashfa katika Jaribio la Mbaya la Kuficha Harakati ya Amani katika eneo la Kaskazini lililo Kombolewa

Katika ripoti ya kushangaza ya vyombo vya habari juu ya ukamataji na maandamano ambayo yamefanyika katika maeneo yaliyokombolewa kwa zaidi ya miezi miwili, waangalizi wa France 24 walitushangaza kwa mkusanyiko wa uwongo wa makusudi ambao chaneli kama France 24 haifai kufanya isipokuwa ikiwa wahariri wake bado wangali chini ya athari ya mshtuko wa maandamano yaliyozuka katika nchi yao iliyokumbwa na mgogoro.

Soma zaidi...

India ina Shaka juu ya Mahusiano ya Marekani

Marekani iliondoa vizuizi vyote wakati Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alipozuru Marekani mwishoni mwa Juni katika ziara rasmi ya kiserikali. Modi, ambaye wakati fulani alinyimwa visa ya kusafiri kwenda Marekani kwa sababu ya wasiwasi juu ya haki za binadamu, alikula na kulala katika Ikulu ya White House na hata kuhutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Congress.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 12/07/2023

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekubali kuunga mkono uanachama wa NATO wa Sweden katika mkesha wa kuamkia mkutano wa siku mbili wa NATO nchini Lithuania. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg alisema kuwa Erdogan amekubali kuwasilisha itifaki za kujiunga kwa Sweden kwa Bunge la Uturuki, Bunge Kuu la Kitaifa, ambalo linahitaji kuidhinisha uanachama wa NATO wa Stockholm.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu