Ijumaa, 03 Jumada al-awwal 1447 | 2025/10/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  29 Rabi' II 1447 Na: HTS 1447 / 45
M.  Jumanne, 21 Oktoba 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa
(Imetafsiriwa)

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan inafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wote wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao kipya cha kisiasa, ambacho kitamkaribisha Ustadh Muhammad Jami’ (Abu Ayman), Msaidizi wa Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan, chenye kichwa:

Msimamo wa Serikali kuhusu Kufutwa kwa Kadhia ya Palestina na Hukmu ya Sharia juu yake

Kikao hicho kitasimamiwa na Ustadh Ibrahim Musharraf, mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Wilayah Sudan.

Wakati: Jumamosi, 3 Jumada al-Awwal 1447 H sawia na 25 Oktoba 2025 M, saa 1:00 Adhuhuri, Mwenyezi Mungu akipenda

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan jijini Port Sudan, Wilaya ya Al-Azma, Mashariki mwa Uga wa Michezo.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu