Al-Waqiyah TV: Kwa Vijana wa Umma... Musikate Matumaini!
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe wa dharura wa Mhandisi Ismail Al-Wahwah (Abu Anas) Mwenyezi Mungu amrehemu
Ujumbe wa dharura wa Mhandisi Ismail Al-Wahwah (Abu Anas) Mwenyezi Mungu amrehemu
Hizb ut Tahrir/Amerika itaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah kwa mwaka huu wa 2023 chini ya kichwa:
"Migogoro na Njia panda... Udharura wa Uislamu Kuuokoa Ulimwengu"
Risala zilizotolewa na kundi la wabebaji Da’wah zilizoelekezwa kwa Hay’at Tahrir Ash-Sham (HTS) baada ya kuvamia nyumba za wabebaji Dawah na kuwakamata mashababu kadhaa wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria kwa njia ya kishenzi, ukiukaji utukufu, katika mandhari ya kutisha iliyo mbali na maadili ya Uislamu na Waislamu.
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 62 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni kwenye mitandao ya kijamii kwa kichwa "Katika kumbukumbu ya miaka 11 ya kutekwa nyara kwake.. Mwacheni Huru Naveed Butt!"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kisimamo katika mji wa Tripoli, Ash-Sham, mbele ya Al-Saray, chenye kichwa:
“Sote tuko dhidi ya Kampeni ya Kibaguzi na ya Kidhulma dhidi ya Ndugu zetu Watu wa Ash-Sham!"
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Fitri Al-Mubarak 1444
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Wabebaji Ulinganizi kote Ulimwenguni kwa Ujio wa Idd ul-Fitri Al-Mubarak
Bait ul-Maqdis – Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Usiku wa Jumanne, 27 Ramadhan Al-Mubarak 1444 H – 18 Aprili 2023 M
Kwa kuamini qadhaa ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Jordan inaomboleza pamoja na Umma wa Kiislamu kwa jumla na watu wa Jordan hasa Shab wa Hizb ut Tahrir, mmoja wa waaminifu wake, wenye subira na wenye matumaini.
Ndugu mtukufu:
Ustadh Omar Faleh At-Tal (Abu Abdullah)