Hizb ut Tahrir / Uingereza: Saudi - Yanunua Kabumbu, Yauza Uislamu?
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uingereza: Saudi - Yanunua Kabumbu, Yauza Uislamu?
Hizb ut Tahrir / Uingereza: Saudi - Yanunua Kabumbu, Yauza Uislamu?
Asubuhi ya leo Ijumaa, tarehe 4/8/2023, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia, ukijumuisha Mkuu wa Afisi ya Kisiasa, Ustadh Abdul Raouf Al-Amiri, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, Ustadh Yassin bin Yahya, na Mwanachama wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, Ustadh Habib Al-Madini, uliomba mahojiano na Waziri wa Uchumi na Mipango, Ustadh Samir Said, kufuatia kile alichokitamka katika kikao cha mashauriano ya Bunge kilichofanyika mnamo Ijumaa tarehe 28/7/2023
Wizara ya Kigeni imelalamika, "Tunazingatia kumbukumbu maalum ya Pakistan katika 'Taarifa ya Pamoja kutoka Marekani na India', iliyotolewa mnamo tarehe 22 Juni 2023,
Ikiwa na nyoyo zinazougua zinazotafuta tu ujira, Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan inaomboleza pamoja na watu nchini Jordan na Ummah wa Kiisilamu, Mbebaji Dawah, mmoja wa Mashababu wake wema, safi na wacha Mungu, na hatumtakasi mtu yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu, kutoka Kizazi cha kwanza cha Hizb Ut Tahrir
Asubuhi ya Jumamosi, Julai 22, 2023 M, Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia itafanya kongamano kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Hijra ya Mtume.
ndia inasonga mbele lakini hii haitokani na rasilimali au nguvu zake yenyewe. Ni kwa sababu ya msaada wa Marekani. Marekani huunga mkono dola ambazo zinajitahidi kuimarisha mfumo wa kimataifa unaoungwa mkono na Marekani na kulinda maslahi ya Marekani.
Hizb ut Tahrir Uingereza iliandaa kongamano la Khilafah la kila mwaka kwa kichwa: “Je, Kweli Unamfahamu Mtume Muhammad, Rehma na Amani ziwe Juu Yake?”
Kalima ya Ustadh Al-Qadir Yusuf Ahmad
Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Sweden
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 64 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Baada ya uvamizi wa kikatili na usio wa haki wa kambi ya Jenin na vikosi vya jeshi la Kiyahudi, ambapo vikosi hivyo vilisababisha vifo, uharibifu na ufisadi, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina iliandaa maandamano makubwa baridi katika miji ya Hebron, Ramallah na Qalqilya, yenye kichwa “Ushindi kwa Jenin na Kutafuta Nusrah kutoka kwa Majeshi ya Waislamu.”