Minbar Ummah: Maoni ya Umma "Vikosi huru vya Mapinduzi ndio hitajio letu"
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Minbar Ummah: Maoni ya Umma "Vikosi huru vya Mapinduzi ndio hitajio letu"
Minbar Ummah: Maoni ya Umma "Vikosi huru vya Mapinduzi ndio hitajio letu"
Taarifa kutoka kwa waheshimiwa na wanamapinduzi katika kambi za Al-Karamah waliokusanyika mashambani Idlib, ambapo walieleza kuunga mkono kwao kwa vikosi vya wanamapinduzi huru, wadhamini na wanaopanga njama za Mapinduzi ya Ash-Sham
Taarifa kutoka kwa waheshimiwa na watu wa Tel Karama mashambani Idlib, wakitangaza kuunga mkono kwao kwa Vikosi vya Wanamapinduzi Huru.
Minbar ya Ummah: Taarifa kutoka kwa Waheshimiwa wa magharibi mwa Kambi ya Atma wakitangaza kuunga kwao mkono kwa Vikosi vya Mapinduzi huru.
Minbar ya Ummah: Maandamano ya Wanawake huko Atma mashambani mwa Idlib yenye jina, "Vikosi vya Mapinduzi Huru vinatuwakilisha."
Maandamano katika mji wa Armanāz mashambani mwa Idlib yenye jina, "Vikosi vya Wanamapinduzi huru vinatuwakilisha."
Tumekusanyika leo kusema LA kwa mpango wa Trump, LA kwa suluhisho la serikali mbili, LA kwa miradi yote ya kujisalimisha, mazungumzo, na usaliti, na NDIO kwa kishindo cha ndege na tetemeko la ardhi la vifaru, NDIO ... tunataka chuma kishambulie chuma, tunataka askari kama wanajeshi wa Salahudin.
Vichwa Vikuu vya Toleo 274
Imeandaliwa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Tukufu ya Palestina.
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Tukufu ya Palestina iliandaa maandamano makubwa katika miji ya Ramallah na Jenin siku ya Jumamosi, 15 Februari, 2020 kupinga mpango wa Trump na suluhisho la kikoloni.