Mgogoro wa Kiuchumi wa Lebanon
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mgogoro wa Kiuchumi wa Lebanon
Mgogoro wa Kiuchumi wa Lebanon
Kyrgyzstan katika juhudi zake za kupambana na ile unayoitwa "misimamo mikali" imepelekea unyanyasaji mbaya kwa miaka mingi.
Katika miaka ya karibuni, Wamagharibi kupitia taasisi za kimataifa zisizo za kibiashara na vyombo vya habari vya mrengo wa Kimagharibi, wameanza kivitendo kutekeleza fikra ya usawa wa kijinsia katika nchi za Asia ya Kati.
Agosti 5, mwaka 2020 ilitimiza mwaka mmoja tokea Modi (Raisi wa India) alipoanza mzingiro kwa Kashmir iliokaliwa kimabavu.
Tukiwa tumeingia ndani ya mwezi mtukufu wa Dhul-Hijjah tuna kumbushwa juu ya kujitoa muhanga kwa Kipenzi cha Mwenyezi Mungu, Ibrahim (as) alipomuwacha mwanawe na mke wake katika jangwa baina ya Safa na Marwa.
Kwa hakika nyinyi ni Ummah bora miongoni mwa wengine wote, ulioletwa kwa watu, kwa sababu mnashikamana kile ambacho Mwenyezi Mungu ameamrisha na mnakataza kile ambacho Mwenyezi Mungu amekikataza na mna muamini Mwenyezi Mungu (swt).
Uislamu sio tu umefaradhisha Jihad pekee, umejenga hamu nzito ya Jihad ambayo imeutofautisha Ummah huu na mataifa mengine kwa karne kumi na tatu.
Ibn Kathir ameeleza katika tafsiri yake ya aya, maana, chuki imedhihiri kwenye nyuso zao, na katika yale wanayoyatamka baadhi ya wakati, pamoja na, uadui walio nao dhidi ya Uislamu na watu wake katika vifua vyao.
Mauwaji ya halaiki ya Srebrenica yalikuwa ni janga la kuogofya katika historia ya wanadamu. Mauwaji hayo ya halaiki yalifanyika katika miji ambayo Baraza la Usalama liliitambua kama maeneo salama, lakini kisha likakataa kuidhinisha vikosi vya kutosha kuyalinda.
Leo ni kumbukumbu ya miaka 25 tangu wanamgambo wa Kiserbia kutekeleza mauwaji ya halaiki katika mji wa Bosnia wa Srebrenica.