Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Ripoti ya Habari 25/10/2022
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo na mikoa tofauti tofauti ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha, ambazo zilishughulikia rasimu ya katiba ya mpito na kodi na ushuru mbalimbali.