Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Nusrah ni Jukumu Lenu la Shariah, Enyi Wanajeshi wa Mwenyezi Mungu ﷻ, Hivyo Basi Itoeni Sasa
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wakati wa mgogoro wa sasa wa kisiasa, ni wajibu wa Kiislamu kwa majeshi ya Pakistan kutoa Nusrah, kwa ajili ya kusimamisha Dola ya Kiislamu mara moja.