Jumanne, 24 Muharram 1446 | 2024/07/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Lazima Tuyatake Majeshi yetu Yasimamishe tena Khilafah na Kuhamasika kwa ajili ya Gaza!

Enyi Waislamu wa Pakistan! Lazima tuyatake majeshi yetu yasimamishe tena Khilafah na kuhamasika kwa ajili ya Gaza. Lazima tumkumbushe kila afisa wa jeshi kwamba tunajua juu ya malipo makubwa yanayongojea shujaa ambaye atatoa nusra yake ya kimada kwa ajili ya kusimamisha tena utawala kwa Uislamu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Dua ya Qunut “Ramadhan ni wakati wa Kuungana kwa ajili ya Gaza!”

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili ya halaiki ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi mitano, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 110,000, wanaume na wanawake, hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Uturuki iliandaa amali kubwa katika maeneo 13 katika miji tofauti tofauti ya Kituruki.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Ni juu ya majeshi ya Waislamu kusimamisha tena Khilafah, ambayo ni ngao ya Waislamu mjini Gaza na nje ya Gaza!

Ni juu ya majeshi ya Waislamu kusimamisha tena Khilafah, ambayo ni ngao ya Waislamu mjini Gaza nan je ya Gaza! Mtume wa Mwenyezi Mungu kipenzi chetu amesema,

“Hakika, Imam ni ngao. Waislamu hupigana nyuma yake na hujihami kwaye.”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu