Jumatatu, 23 Muharram 1446 | 2024/07/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir/ Wilaya Afghanistan: Msimamo Imara kwa Ummah Ulio Amka

Mnamo Septemba 17 katika mkoa wa Laghman, mauaji ya wanawake 14 na watoto wasio na hatia yaliyo fanywa na makruseda, wakimtukana Mtume wetu (saw) na kama kawaida majibu ya aibu ya watawala wasaliti, ambayo hayajawahi kuwepo katika miaka 1400 ya historia, na uhaini mwingine kama huu unaofanywa na maadui wa Uislamu ni kutokana na kukosekana kwa ngao yenye ikhlasi (Khalifah) na Dola ya Khilafah.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Afghanistan: Wanafunzi Wanaharakati Wakiandamana dhidi ya Filamu Inayopinga Uislamu kwa Kumkejeli Mtume Muhammad (saw)

Wanaharakati kutoka Hizb ut Tahrir/ Afghanistan waliongozo maandamano ya wanafunzi mnamo Shawwal 1433 H - Septemba 16, 2012 M katika vyuo vikuu vyote ndani ya Kabul. Maandamano haya yalifanyika ili kupinga filamu iliyoandaliwa na Muamerika inayopinga Uislamu kwa kumkejeli Mtume Muhammad (saw) na uwepo wa Amerika ndani ya Afghanistan.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu