Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir:

Tufani ya Twitter “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!”

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yaandaa

Tufani ya Twitter kwa Kichwa:

“Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!”

Ili kuwanusuru wabebaji ulinganizi wenye ikhlasi wanaonyanyaswa na utawala dhalimu wa Uzbekistan kwa sababu tu wanaswali mchana na usiku ili kutimiza ahadi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu na bishara njema ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) kwa kurudisha maisha kamili ya Kiislamu kupitia kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Basi kuweni pamoja nasi na mushiriki malipo, na Mwenyezi Mungu Mtukufu atatunusuru, hata kama ni baada ya muda.

Jumamosi, 21 Muharram Tukufu 1446 H sawia na 27 Julai 2024 M

Zuru Ukurasa wa Kampeni kwa Lugha Tofauti Tofauti

Kiarabu

Kituruki

Kiurdu

Kiingereza

Kifaransa

Kijerumani

Kiswahili

Alama Ishara za Kampeni

#صرخة_من_أوزبيكستان

#Özbekistan_dan_haykırış

#PleaFromUzbekistan

#ЎЗБЕКИСТОНДАН_ФАРЁД

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu