Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Mfano wa Ukraine Unathibitisha Hatari ya Ukoloni wa Kijeshi!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfano wa Ukraine Unathibitisha Hatari ya Ukoloni wa Kijeshi!
Mfano wa Ukraine Unathibitisha Hatari ya Ukoloni wa Kijeshi!
Ramadhan ya Mwaka Huu, Yaupasa Umma na Majeshi yake Wakabiliana na Dhulma ya Ukoloni wa Marekani!
Shirika la habari la Reuters liliripoti mnamo Februari 21, 2025 kwamba “Marekani imetoa dolari milioni 397 kusaidia mpango wa kijeshi katika chini ya Pakistan yenye silaha za nyuklia, huku msaidizi mmoja wa bunge akisisitiza kwamba matumizi ya F-16 ya Marekani katika operesheni za kukabiliana na ugaidi yatafuatiliwa isipokuwa dhidi ya India.” Huu ndio uhalisia wa ukoloni wa kijeshi: kuyafanya majeshi ya Waislamu kupigana wao kwa wao, huku wakiyazuia kupigana jihad dhidi ya India, umbile la Kizayuni, na majeshi ya Msalaba!
Ramadhan ni mwezi ambao ndani yake Umma wa Kiislamu ulishinda maadui wengi wenye nguvu. Hebu Waislamu na waregeshe hukmu kwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu ﷻ katika mwezi wa Ramadhan, na warudishe ushindi dhidi ya maadui, kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu ﷻ.
Dola ya Kibaniani Yawaua Mujahidina katika Kashmir Inayokaliwa Kimabavu baada ya Dola ya Pakistan Kuwatelekeza!
Enyi Umma wa Muhammad (saw)! Majeshi Yenu yana Nguvu za Kutosha... Waamuruni Wawang'oe Watawala Vibaraka!
Usitishaji wa Mapigano mjini Gaza Haujamaliza Uvamizi wa Kikatili katika Ardhi Iliyobarikiwa!
Kesi 379 za upotezwaji wa lazima ziliwasilishwa kwa Tume ya Uchunguzi juu ya Kupotezwa kwa Kulazimishwa (COIOED) mnamo 2024. Watawala wa Waislamu huwateka nyara wale wanaowawajibisha, ni wakali kwa Waislamu na wana huruma na maadui. Hawakumnyonga jasusi na muuaji wa Kihindi Kulbhushan Yadav. Walimwachilia huru jasusi na muuaji wa Kimarekani Raymond Davis. Hata hivyo, walimteka nyara Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Pakistan, mnamo Mei 11, 2012. Naveed Butt alitoa wito wa ukombozi kutokana na ukoloni wa Marekani na kusimamishwa kwa Khilafah Rashida. Baada ya zaidi ya miaka kumi na mbili, watawala wangali hawajamwachilia huru. Ni lazima kwa umma na majeshi yake kuwang’oa madhalimu miongoni mwa watawala na kusimamisha Khilafah Rashida.
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kiuchumi wa nchi za Waislamu!
Katika kumbukumbu ya mwaka wa 104 H wa kuanguka kwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H sawia na tarehe 3 Machi 1924 M, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa tovuti za Afisi Kuu ya Habari, silsila mpya inayoitwa: “Ummah Mmoja... Khilafah Moja” iliyotolewa na Afisi ya Habari wa Hizb ut Tahrir ya Wilayah Pakistan.