- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Enyi Majeshi wa Waislamu! Je, Majabari katika zama za Ujahiliya ni Madhaifu katika Uislamu?!
Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya Gaza na umbile la Kiyahudi, umbile hilo lilipanua mashambulizi yake ya ardhini huko Gaza mnamo 20 Machi 2025. Wakati huo huo, viongozi wa kisiasa na kijeshi wa Waislamu wanashughulika kumfurahisha Farauni wa Washington, Trump, na majeshi yetu yanatumiwa katika vita vya uasi. Tunaweza kuuliza majeshi ya Waislamu: Je, si ndugu zenu Waislamu ndio walioifanya Marekani ionje kushindwa nchini Iraq na Afghanistan? Ni kipi kinakuzuieni kuwaondoa hawa viongozi wasaliti na kusonga kuwanusuru Waislamu? Tunakwambieni maneno yale yale aliyoyasema Khalifa Abu Bakr Al-Siddiq, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, pale alipokataa kuwa mpole katika kupigana na waasi pamoja na hali ngumu: “Je, Majabari katika zama za Ujahiliya ni madhaifu katika Uislamu?! Timizeni ahadi yenu na mahitaji ya imani yenu, na muende kuinusuru Gaza.
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumapili, 23 Ramadhan 1446 H sawia na 23 Machi 2025 M
#طوفان_الأقصى
#الجيوش_إلى_الأقصى
#الأقصى_يستصرخ_الجيوش
#AksaTufanı
#OrdularAksaya
#ArmiesToAqsa
#AqsaCallsArmies
Kwa Maelezo zaidi, Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Twitter: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan