- |
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- ukubwa wa font punguza ukubwa wa font zidisha ukubwa wa font
بسم الله الرحمن الرحيم
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni ya “Majeshi na Yaelekee Al-Aqsa”
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa na kupotezwa zaidi ya wanaume na wanawake 170,000 wa Kiislamu hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Pakistan inaandaa msururu wa amali kwa kichwa:
“Majeshi na Yaelekee Al-Aqsa”
Ili kuyataka majeshi ya Waislamu yatimize wajibu wao wa kidini na kusonga mara moja kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuusafisha Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wauaji na halifu.
Ijumaa, 13 Shawwal 1446 H, sawia na 11 Aprili 2025 M
- Sehemu ya Amali za Wilayah ya Pakistan za Kuinusuru Gaza -
https://hizb-ut-tahrir.info/sw/index.php/dawah/pakistan/4628.html#sigProIdc7d5b85fe6
- Video za Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan za Kuinusuru Gaza Hashim -
[إِلَّا تَنفِرُوا۟ يُعَذِّبْكُمْ عَذَابًا أَلِيمًۭا وَيَسْتَبْدِلْ قَوْمًا غَيْرَكُمْ]
"Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala nyinyi hamtamdhuru chochote. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu." [At-Tawba: 39]
Mnamo tarehe 31 Machi 2025, jeshi la Kiyahudi lilitoa maagizo makubwa ya kuwahamisha watu wa Rafah na maeneo ya karibu. Enyi majeshi ya Waislamu! Adui yenu ametangaza kukoleza vita, na bado hamujajiunga na vita, baada ya miezi kumi na nne! Haaman, jemadari wa Firauni dhalimu wa Misri, sasa yuko Motoni, pamoja na jeshi lake. Kuwatii madhalimu si udhuru mbele ya Mwenyezi Mungu ﷻ. Wapunguzieni majeshi mizigo ya Mafirauni wa leo. Mteueni Khalifa Rashid na musonge kuinusuru Gaza. Au munasubiri kuungana na Haaman na jeshi lake? Au mnangoja kubadilishwa na wale wanaomcha Mwenyezi Mungu pekee?
#Time4Khilafah
Imetolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumapili, 04 Shawwal 1446 H sawia na 02 Aprili 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Enyi Majeshi wa Waislamu! Je, Majabari katika zama za Ujahiliya ni Madhaifu katika Uislamu?!
Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya Gaza na umbile la Kiyahudi, umbile hilo lilipanua mashambulizi yake ya ardhini huko Gaza mnamo 20 Machi 2025. Wakati huo huo, viongozi wa kisiasa na kijeshi wa Waislamu wanashughulika kumfurahisha Farauni wa Washington, Trump, na majeshi yetu yanatumiwa katika vita vya uasi. Tunaweza kuuliza majeshi ya Waislamu: Je, si ndugu zenu Waislamu ndio walioifanya Marekani ionje kushindwa nchini Iraq na Afghanistan? Ni kipi kinakuzuieni kuwaondoa hawa viongozi wasaliti na kusonga kuwanusuru Waislamu? Tunakwambieni maneno yale yale aliyoyasema Khalifa Abu Bakr Al-Siddiq, Mwenyezi Mungu amuwiye radhi, pale alipokataa kuwa mpole katika kupigana na waasi pamoja na hali ngumu: “Je, Majabari katika zama za Ujahiliya ni madhaifu katika Uislamu?! Timizeni ahadi yenu na mahitaji ya imani yenu, na muende kuinusuru Gaza.
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumapili, 23 Ramadhan 1446 H sawia na 23 Machi 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Enyi Jeshi la Pakistan! Songeni kwa ajili ya Kuinusuru Gaza, kwa Kumtii Mwenyezi Mungu!
Televisheni ya serikali ya Pakistan ilisema mnamo 19 Machi 2025: “Pakistan inalaani vikali mashambulizi ya anga ya Israel.” Hivi ndivyo watawala wa Pakistan walivyolaani hujuma ya Mayahudi na jinai zake zinazoendelea dhidi ya Ukanda wa Gaza! Bila kusonga askari au kuinua silaha! Enyi Maafisa wa Jeshi la Pakistan! Je, mnawafuata watawala wanaofuata sera za dola za kikoloni na kuuweka utiifu kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake (saw) nyuma ya migongo yao? Wanajifanya kana kwamba hawaegemei upande wowote huku ndugu zetu huko Palestina wakiuawa na kuangamizwa! Watawala hawa wanalinda maslahi ya dola za kiadui huku mauaji yakifanywa dhidi ya watu wa Palestina. Utiifu wenu kwao hautakuepusheni na fedheha ya dunia na adhabu ya Akhera, na mutajuta wakati majuto hayatafaa kitu.
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Ijumaa, 21 Ramadhan 1446 H sawia na 21 Machi 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Mjini Gaza, Mashahidi 400 ndani ya Masaa 5!
Maneno yanashindwa kuelezea uhalifu huu wa kutisha katika mwezi huu mtukufu. Mayahudi wa Netanyahu na Marekani ya Trump wanawaonea watu wasio na hatia huku wakiwa wamelala, wakitumia ndege 100, zikiwemo ndege za kivita za Marekani, kulenga mahema yaliyojaa raia, kwa kisingizio kwamba wapiganaji wachache wa upinzani wapo. Waliwafuatiulia huku kukiwa na udanganyifu waliouita "usitisha mapigano"!
Ikiwa huu sio uhalifu, ni nini?! Lakini uhalifu ulio mkubwa kuliko huu ni uhalifu wa usaliti wa watawala wa Waislamu na majeshi yao! Kwa wana uwezo wa kukamata mikono ya wahalifu hawa na kuikata, lakini wamekataa.
Huu ni usaliti wa aina gani, ni ubaya wa aina gani huu, na ni aina gani ya adhabu imeandaliwa kwa ajili yao katika Moto wa Saqar? Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw): "مَا مِنِ امْرِئٍ يَخْذُلُ امْرَأً مُسْلِمًا فِي مَوْضِعٍ تُنْتَهَكُ فِيهِ حُرْمَتُهُ وَيُنْتَقَصُ فِيهِ مِنْ عِرْضِهِ إِلاَّ خَذَلَهُ اللَّهُ فِي مَوْطِنٍ يُحِبُّ فِيهِ نُصْرَتَهُ وَمَا مِنِ امْرِئٍ يَنْصُرُ مُسْلِمًا فِي مَوْضِعٍ يُنْتَقَصُ فِيهِ مِنْ عِرْضِهِ وَيُنْتَهَكُ فِيهِ مِنْ حُرْمَتِهِ إِلاَّ نَصَرَهُ اللَّهُ فِي مَوْطِنٍ يُحِبُّ نُصْرَتَهُ" “Hakuna mtu atakayemtelekeza Muislamu katika hali ambayo utakatifu wake unakiukwa na heshima yake inavunjwa, isipokuwa Mwenyezi Mungu atamtelekeza katika hali ambayo angependa nusra yake, na hakuna mtu atakayemnusuru Muislamu katika hali ambayo heshima yake inavunjwa na utakatifu wake unakiukwa isipokuwa Mwenyezi Mungu atamnusuru katika hali ambayo angependa nusra yake.”
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumanne, 18 Ramadhan Al-Mubarak 1446 H sawia na 18 Machi 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Enyi, Jeshi la Pakistan! Mzamisheni Trump Firauni wa Marekani katika Bahari ya Gaza kwa Kusimamisha Khilafah!
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumanne, 11 Ramadhan Al-Mubarak 1446 H sawia na 11 Machi 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Ramadhan ya Mwaka Huu, ni Wakati wa Ukombozi (Tahrir) kutoka kwa Ukoloni wa Kijeshi!
Shirika la habari la Reuters liliripoti mnamo Februari 21, 2025 kwamba “Marekani imetoa dolari milioni 397 kusaidia mpango wa kijeshi katika chini ya Pakistan yenye silaha za nyuklia, huku msaidizi mmoja wa bunge akisisitiza kwamba matumizi ya F-16 ya Marekani katika operesheni za kukabiliana na ugaidi yatafuatiliwa isipokuwa dhidi ya India.” Huu ndio uhalisia wa ukoloni wa kijeshi: kuyafanya majeshi ya Waislamu kupigana wao kwa wao, huku wakiyazuia kupigana jihad dhidi ya India, umbile la Kizayuni, na majeshi ya Msalaba! Enyi Maafisa wa Jeshi la Pakistani Je, munaweza kufikiria kwamba dola ya Kiislamu ya Madina ingeweza kutegemea silaha za Warumi au Wafursi?! Acheni kujidhalilisha! Huisheni ari ya Vita vya Badr ndani ya Ramadhan, ondoeni tawala vibaraka, na toeni Nusra yenu kwa Hizb ut Tahrir ili kusimamisha Khilafah Rashida ambayo itaukomboa Ummah kutokana na utumwa.
#Time4Khilafah
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumatano, 05 Ramadhan Al-Mubarak 1446 H sawia na 05 Machi 2025 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Huku Mwezi wa Ramadhan, Mwezi wa Ushindi, Unapokaribia, Umma na Majeshi yake lazima Yakabiliane na Mfumo wa Kilimwengu wa Kidhalimu wa Marekani!
Kati ya tarehe 7 na 11 Februari 2025, wanajeshi kadhaa wa majini wa Kiislamu watashiriki katika zoezi la (Aman 25) jijini Karachi, Pakistan, ambayo lengo lake ni "kuamiliana kwa pamoja katika kushughulikia vitisho vya baharini." Je! ni tishio gani kubwa la baharini kwa usalama wa Waislamu kuliko Jeshi la Wanamaji la Marekani? Jeshi la Wanamaji la Marekani linashambulia Waislamu na kulisaidia umbile la Kiyahudi katika mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza. Pamoja na hayo, Jeshi la Wanamaji la Marekani limetenganishwa na ulimwengu wa Kiislamu na bahari, kwa hivyo linategemea watawala wa Waislamu, kwani watawala vibaraka wa Waislamu wanawapa Jeshi la Wanamaji la Marekani kambi za kijeshi na njia za baharini, ambayo pasi kwayo, Amerika haingeweza kushambulia Waislamu. Ramadhan ni mwezi ambao ndani yake Umma wa Kiislamu ulishinda maadui wengi wenye nguvu. Hebu Waislamu na waregeshe hukmu kwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu ﷻ katika mwezi wa Ramadhan, na warudishe ushindi dhidi ya maadui, kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu ﷻ.
Imetayarishwa na: Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan
Jumatatu, 11 Sha'aban 1446 H sawia na 10 Februari 2025 M
#طوفان_الأقصى
#الجيوش_إلى_الأقصى
#الأقصى_يستصرخ_الجيوش
#AksaTufanı
#OrdularAksaya
#ArmiesToAqsa
#AqsaCallsArmies
Kwa Maelezo zaidi, Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Tovuti Rasmi: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Facebook: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan
Twitter: Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan