Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina: Hizb ut Tahrir Yatoa Wito kwa Majeshi Kusonga Kujibu Uamuzi wa Uvamizi wa Kuwaruhusu Mayahudi Kufanya Ibada zao ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumamosi, 9 Oktoba 2021, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina iliandaa visimamo vitatu mjini Ramallah, Hebron na Tulkarm, ambapo ilitoa wito kusonga kwa uhalisi kwa majeshi ya Waislamu kujibu uamuzi wa uvamizi wa kuwaruhusu Wayahudi kutekeleza ibada zao katika makawanda ya Msikiti wa Aqsa Uliobarikiwa.