Alhamisi, 10 Sha'aban 1447 | 2026/01/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina):

Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Kutoka ukurasa huu, tutaangazia amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu 1342 H.

Ijumaa, 13 Rajab Tukufu 1447 H sawia na 2 Disemba 2025 M

- Khutba na Darasa za Misikitini katika Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah -

"Hakuna Ikhtilafu kati ya Umma wa Kiislamu au Miongoni mwa Maimamu kuhusu Ufaradhi wa Khilafah!" 

Hotuba ya msikitini iliyotolewa na Sheikh Ayman Khalaf (Abu Ubaidah)

Qalqilya - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Ijumaa, 20 Rajab 1447 H - 9 Januari 2026 M

"Rajab Tukufu inalia kwa ajili ya Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah!" 

Hotuba ya msikitini iliyotolewa na Ustadh Ubadah Mahmoud Quraan

Qalqilya - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Jumapili, 22 Rajab 1447 H - 11 Januari 2026 M

"Khilafah ni Sanaa na Bidhaa ambayo Dini Husimamishwa kupitia Kwayo!" 

Hotuba ya msikitini iliyotolewa na Ustadh Radwan Nasser Abdel Aal

Qalqilya, katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Jumatatu, 23 Rajab 1447 H - 12 Januari 2026 M

"Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah si kwa ajili ya Kuomboleza, bali ni Kutukumbusha Umuhimu wa Kufanya Kazi kwa Bidii ili Kuisimamisha Upya!" 
Hotuba ya msikitini iliyotolewa na Ustadh Anas Qashou
Qalqilya, katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina
Jumatano, 25 Rajab 1447 H - 14 Januari 2026 M

"Ukumbusho na Ujumbe kwa Ummah wa Kiislamu katika kumbukumbu ya miaka 105 ya Kuanguka kwa Khilafah"

Darsa ya msikiti iliyotolewa na Sheikh Yusuf Shawahneh (Abu Islam)

Jenin al-Qassam - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

"Khilafah... Kwayo Mnanusurika na Kwayo Munapata Izza!"

Darsa ya msikiti iliyotolewa na Ustadh Adeed Naufal

Khalil Al-Rahman - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Jumapili, 29 Rajab Tukufu 1447 H - 18 Januari 2026 M

"Kuvunjwa kwa Khilafah... Msiba Mkubwa baada ya Kifo cha Mtume (saw)!"

Darsa ya msikiti iliyotolewa na Sheikh Abdulrahman Zuyood (Abu Mus'ab)

Jenin Al-Qassam - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Jumapili, 29 Rajab Tukufu 1447 H - 18 Januari 2026 M

“Khilafah ijayo, Mwenyezi Mungu akipenda, Itajaza Ombwe la Kisiasa Duniani!”

Hotuba iliyotolewa msikitini na Ustadh Abdul Rahim Hassain

Qalqilya – Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Ijumaa, 4 Sha'ban 1447 H - 23 Januari 2026 M

“Katika Kumbukumbu ya Khilafah, Mjumbe Mkuu Mpya!”

Hotuba iliyotolewa msikitini na Sheikh Burhan al-Samman (Abu Amer)

Qalqilya - Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Ijumaa, 4 Sha'ban 1447 AH - 23 Januari 2026 M

- Kitengo cha Wanawake katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) -

[Kalima kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah!]

Kwa mnasaba wa ujio wa kumbukumbu ya miaka 105 uchungu ya kuvunjwa na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki kwa dola ya Kiislamu iliyosimamishwa na Mtume Muhammad (saw) na Maswahaba zake watukufu (ra), na kukomeshwa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu 1342 H, sawia na 3 Machi 1924 M, Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kinawasilisha msururu wa kalima ili kuhamasisha Ummah wa Kiislamu kufanya kazi kwa bidii na kwa dhati pamoja na Hizb ut Tahrir ili kuiregesha, kama Mtume wetu Muhammad (saw) alivyotabiri: “Khilafah Rashida kwa njia ya Utume.”

Katika kumbukumbu ya miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Tunatoa wito kwa azimio letu, kheri ni kwa wale walioitikia wito!

Ijumaa, 13 Rajab 1447 H, sawia na 2 Januari 2026 M

Kuvunjwa kwa Khilafah kulikuwa mojawapo ya misiba mikubwa zaidi, na huu ni ujumbe kutoka Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)... Je, kutochukua hatua kutaendelea kwa muda mrefu? Au je, bishara njema ya Mtume (saw), ya kukombolewa kwa Roma inakaribia? Uwanja uko wazi kwa yeyote anayetaka kuacha alama yake katika historia ya izza ijayo ...

Katika Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Mmoja wa Wanawake Huru wa Palestina anawahutubia Vijana wa Umma, akiwahimiza Waamke!

Wito kwa vijana, moyo unaodunda na nguvu inayosukuma Umma wa Kiislamu, kufanya kazi kwa ajili ya ushindi wa imani na kuwakumbuka mababu zao, Maswahaba wa Mtume (ra). Kumbukumbu hii ni chanzo cha nguvu mpya, kunoa azma, na upya wa kujitolea kwa kupata thawabu katika maisha haya na ya baadaye.

Ijumaa, 20 Rajab 1447 H / 9 Januari 2026 M

Katika Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuanguka kwa Khilafah

Khilafah ni Faradhi, Ahadi, na Bishara Njema!

Hali ya Ummah wa Kiislamu bila ya Khilafah... Baada ya kuwa dola bora zaidi duniani, kuanguka kwake kutoka kwa neema kumeushusha hadi chini ya mataifa... Umeshuka kutoka nafasi yake ya juu, ukimezwa na umaskini na unyonge... Tazama Gaza na kinachowatokea watu wetu huko; hakuna majeshi yaliyopelekwa kuwaokoa. Wito ulitumwa kwa wanazuoni na majeshi kwamba Je, si wakati wenu wa kufanya kazi ya kuregesha Khilafah, ambayo ni faradhi, ahadi, na bishara njema? Je, sio wakati sasa?!

Ijumaa, 27 Rajab 1447 H - 16 Januari 2026 M

Katika kumbukumbu ya miaka 105 ya kuangamizwa kwa Ukhalifa:

Maumivu na matumaini!

Maumivu kwa Waislamu kutokana na kutokuwepo kwa ngao ya ulinzi; hakuna usalama au amani katika nchi za Kiislamu, kuanzia Gaza hadi Sudan hadi Burma na Syria, ni mauaji tu, uharibifu, njaa, ujinga, na ufisadi. Hata hivyo, matumaini yapo nyoyoni mwa waumini, wakiwa na uhakika wa ahadi ya Mwenyezi Mungu na bishara njema za Mtume Wake Mtukufu (saw), da'wah kutoka nchi ya Isra na Mi'raj (Safari ya Usiku ya Mtume na Kupaa) kufanya kazi kwa bidii na kwa dhati pamoja na Hizb ut Tahrir ili kusimamisha dola ya pili ya Khilafah kwa njia ya Utume.
Jumatano, 25 Rajab 1447 H / 14 Januari 2026 M

- Alama Ishara za Kampeni -

#أقيموا_الخلافة

#في_ذكرى_هدم_الخلافة

#ReturnTheKhilafah

#YenidenHilafet

#خلافت_کو_قائم_کرو

#TurudisheniKhilafah

Ili kupata maelezo zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina):

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina):

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina):

Chaneli ya YouTube ya Wito kutoka Bait al-Maqdis

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu