Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 293
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 293
Vichwa Vikuu vya Toleo 293
Kusimamisha nidhamu za Kiislamu ndiyo njia pekee ya ukombozi kwa watu wote, hususan Waamerika wenye asili ya Kiafrika, kwa kuonesha kwamba uraia wa daraja la pili ni wa kudumu.
Ugonjwa huu hakika umeathiri Ulaya kama ulivyo athiri wengine, kutatanisha nchi zake kwa sababu ya uharaka wa kusambaa kwake na kukosa kwao uwezo wa kuukabili, wa kihisi unyonge mbele ya virusi hivyo.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Atma, viungani mwa Idlib, kwa anwani, "Tunavyo Viungo vya Ushindi!"