Ubalozi wa EU nchini Kenya: Njama ya Ukoloni Mamboleo Kudhibiti Koloni Lake Afrika!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Ujumbe wa Umoja wa Ulaya (EU) mjini Nairobi ulizindua ubalozi mpya ukiifanya Kenya kuwa ndio ujumbe wake wa kigeni wa pili kiukubwa duniani baada ya ulioko mjini London.



