Matokeo ya vita vya Urusi nchini Ukraine
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
France 24 iliripoti mnamo Oktoba mosi 2022 kwamba: (Msemaji wa jeshi la Ukraine alitangaza kuingia kwa majeshi yake katika mji wa Lyman mashariki mwa nchi hiyo. (eneo la Donetsk) baada ya kuhusuru vikosi vya Urusi...).