Minbar ya Ummah: Matembezi ya Takbira na Tahlil katika Mji wa Idlib!
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuhuisha Sunnah ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah.
Kuhuisha Sunnah ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah.
Video inayowalingania Waislamu kutoka madhehebu na makabila yote, wake kwa waume, vijana kwa wazee, kufanya kazi pamoja na Hizb ut Tahrir kwa ajili ya kusimamisha tena Khilafah.
Sera za Uzayuni na Hindutva zinazoendeshwa na chuki dhidi ya Umma wa Kiislamu zinaendelea bila kusitishwa huku wale wanaojiita walinda amani wa dunia wakiwa ni washirika wao wa kimya kimya.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Souran viungani mwa Aleppo Kaskazini kukemea mapigano ya makundi.
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) iliandaa kisimamo katika nyua za Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa kwa ajili ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na kuyahamasisha majeshi ya Waislamu kuwang’oa watawala wasaliti na kusimamisha dola ya Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume,