Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 406
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wanaharakati wa kike (Shaabat) wa Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria waliandaa maandamano katika mji wa Idlib kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Wanawake wa al-Sham Wanalia kwa Sauti Kuu, Yuko Wapi Mu’tasim! Je, Kuna Yeyote wa Kuitikia Kilio Chao?"
OGN TV: Dori ya Wanawake wa Kiislamu katika Mwamko wa Ummah Huu
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Idlib yaliyo anza katika msikiti wa Al-Hussein baada ya swala ya Ijumaa na yakanyanyua kauli mbiu “Jikomboeni kwa Nguvu Kutokana na Utegemezi na Chukueni kwa Nguvu Mradi wa Khilafah...
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Killi kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Hakuna Maridhiano wala Hakuna Suluhisho la Kisiasa na Serikali ya Mhalifu”.
Maandamano ya jioni katika mji wa Idlib kupinga kauli za wizara ya mambo ya nje ya Uturuki kuhusu maridhiano na utawala wa Syria!
Taarifa ya Baraza la Shura la la Mjumuiko wa Familia kuhusiana na Kauli za Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki!
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 58 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Kumtukana Mtume (ﷺ) kamwe hakuwezi kuwa na mjadala kwa Waislamu kote duniani na “Uhuru wa Kuzungumza” si lolote ila ni kwa manufaa ya kisiasa tu.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Sahara viungani mwa Allepo kupinga matamshi ya khiyana ya serikali ya Uturuki ya kutaka kuwepo kwa mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad kwa anwani: