Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 56 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ili Kutazama Sehemu za Miezi Iliyopita Bonyeza Hapa
Ili Kutazama Sehemu za Miezi Iliyopita Bonyeza Hapa
Mnamo 1540 M, mtawala wa Kiislamu, Sher Shah Suri, alichapisha Rupiya ya fedha, yenye uzani wa 178 Troy grains, ambao ni gramu 11.5.
Dola ya Kibaniani imeishambulia wazi wazi heshima ya Mtume ﷺ, huku ikiyasaidia makundi yake yenye silaha kuvunja misikiti na kuwachinja Waislamu.
Sheria mpya imepitishwa nchini Uswidi kuhusu "mateso yaliyosimama juu ya heshima," maelezo haya ya picha yanabainisha maana haswa ya "mateso yaliyosimama juu ya heshima".
Uchumi wa Pakistan unadorora kutokana na biashara ya kimataifa kuegemezwa juu ya na dolari, deni lenye riba na uagizaji ghali wa mafuta na mashini kutoka nje ya nchi.
Hizb ut Tahrir iliandaa kisimamo mjini Gaza Al-Hishem / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) cha kuyaomba nusra majeshi ya Umma kuunusuru Msikiti Al-Aqsa uliobarikiwa na kuutakasa kutokana na najisi ya Mayahudi.
Ujumbe ambao Waislamu wa Al-Qudsi waliuelekeza kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu wakati wa ziara yake ya kufedhehesha katika Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa...