Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 392
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumapili asubuhi, Mei 22, 2022, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo cha kukataa miradi ya kisiasa ya kisekula ambayo inaupinga Uislamu waziwazi na hukmu zake inayofungamana na maadui wa Waislamu kutoka katika ukoloni wa Magharibi na mfano wake.
Watu Wametambua kuwa Demokrasia Imefeli. Njia pekee ya kujinasua ni kufuata Sunnah ya Mtume.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya katika lugha tano yenye kichwa:
Hizb ut-Tahrir / Sweden iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Sweden kupinga kufungwa kwa shule za Waislamu nchini Sweden.
Mtego wa madeni ya riba unaosimamiwa na IMF umemaanisha kuwa deni la Pakistan limepanda kutoka Rupia trilioni 10 mwaka 2011 hadi trilioni 40 mwaka 2022.
Ili Kutazama Sehemu za Miezi Iliyopita Bonyeza Hapa