Balozi za Marekani ni Vituo vya Ujasusi na Ugomvi; Kuialika Marekani Kufungua Ubalozi Wake Tena nchini Afghanistan ni Usaliti kwa Mihanga ya Ummah wa Kiislamu na Tusi kwa Damu ya Mashahidi
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika mahojiano ya hivi karibuni na The New York Times jijini Kabul, waziri wa mambo ya nje wa Afghanistan aliialika rasmi Marekani kufungua tena ubalozi wake na kuwekeza katika sekta za miundombinu na madini za Afghanistan, akisema: "Tunachukulia sura ya vita kuwa imefikia mwisho, na kuanzia sasa, tunataka uhusiano unaotegemea heshima ya pande zote na mwanzo wa sura mpya ya ushirikiano chanya."



