Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afghanistan Imo Ndani ya Majaribio ya Kihistoria baina ya Kusimamisha Khilafah au Kutabikisha Nidhamu Zilizotungwa na Wanadamu; Msipoteze Wakati Simamisheni Khilafah!

Matukio ya ghafla na yasiyotabirika nchini Afghanistan kwa mara nyengine tena yameiweka nchi hiyo katika njia kwa vikundi anuwai vya kisiasa, viongozi wa kikabila na watu wenye ushawishi kufanya uamuzi juu ya mfumo wa kisiasa wa mustakbali nchini Afghanistan.

Soma zaidi...

Watu Wenye Ushawishi na Viongozi wa Kisiasa Hawapaswi Kuwasukuma Waafghani Kugeuka kuwa Watu wa Mstari wa Mbele wa Nidhamu ya Kidemokrasia na Wamiliki wa Pasipoti Nyingi!

Ashraf Ghani, Rais wa Afghanistan, katika mkutano mmoja na viongozi kadhaa wa kisiasa na wawakilishi wa makabila wenye ushawishi, alisisitiza juu ya uhai na kudumu kwa 'Jamhuri' ambapo walikubaliana juu ya kuhamasisha, kuimarisha na kuyahami kwa haraka uasi wa umma dhidi ya shambulizi la upinzani wa kisilaha [Taliban].

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu