Hizb ut Tahrir / Tanzania Yatuma Ujumbe Katika Ubalozi wa Uchina
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jana, Ijumaa 5 Aprili 2019 / 29 Rajab 1440 Hijri, Hizb ut Tahrir / Tanzania ilituma ujumbe hadi Ubalozi wa Uchina nchini Tanzania ili kufikisha barua maalumu ya kuwasilisha malalamishi juu ya mateso ya dola ya Uchina kwa Waislamu wa Uyghur.