Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 483
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
BBC imeripoti juu ya watu wanaoishi katika eneo lililotengwa la kaskazini mwa Gaza na wameandika kwamba watoto hukosa chakula kwa siku kadhaa. Misafara ya misaada inazidi kunyimwa vibali vya kuingia na umbile la Kiyahudi.
Mnamo tarehe 31 Januari 2024, Jenerali Syed Asim Munir, NI (M), Mkuu wa Majeshi (COAS) aliongoza Mkutano wa 262 wa Makamanda wa Vikosi (CCC) uliofanyika Makao Makuu (GHQ), kama ilivyoripotiwa na kitengo cha habari cha jeshi, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Na PR-26/2024-ISPR.
Uchaguzi wa urais nchini Indonesia ulifanyika mnamo Februari 14, 2024, na kufikia sasa, kuhesabu kura rasmi kunaendelea na Tume ya Uchaguzi Mkuu. Kulingana na hesabu ya haraka ya matokeo, kuna uwezekano mkubwa kwamba wawili Prabowo Subianto na mwanawe Rais, Gibran, wataibuka washindi.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Wakati wa ziara yake nchini Malta, Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan alisema katika tangazo la pamoja kwa vyombo vya habari na Waziri wa Mambo ya Nje, Masuala ya Ulaya na Biashara wa Malta Ian Borg kwamba suluhisho bora kwa Palestina ni suluhisho la dola mbili ndani ya mipaka ya 1967.
Kichwa cha habari cha gazeti la ‘The Guardian’ mnamo tarehe 16 Februari 2024, kilichoandikwa na Gaby Hinsliff, kilisema: "Jifunze hili kutokana na mzozo wa Rochdale: jamii inakabiliwa na hatari pindi watu werevu wanapoamini mambo yasiyo na maana."
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni nyumbani kwa usambazaji mkubwa zaidi wa cobalt, chuma muhimu kinachotumika katika utengenezaji wa betri za lithiam-ion kwa ajili ya simu, tablets na magari ya umeme. Mnamo 2022, akiba ya cobalt ya Congo ilikadiriwa kuwa karibu tani milioni nne za metric, ambazo ziko mashariki mwa nchi, huku akiba ya kimataifa ikiwa ni tani milioni 8.3.
Wiki iliyopita, Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi alifungua hekalu kubwa zaidi la Kibaniani nchini Imarati huko Abu Dhabi, kwa nia ya kuongeza umaarufu wake kabla ya uchaguzi mkuu wa India uliopangwa kufanyika Mei 2024 [1].
Katika kitabu, "Shakhsiya ya Kiislamu – Juzuu I," imetajwa katika mada ya haja ya Ummah leo kuwa wafasiri, katika mstari wa tisa na wa kumi (mithili ya kitabu cha fikra angavu ya kina). Je, neno "angavu" ni sahihi?