Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kuongezwa Muda wa Ujumbe wa UNITAMS kwa Mwaka Mwengine Kunatokana na Usimamizi wa Dhahiri wa Nchi za Kikoloni juu ya Sudan

Mnamo Siku ya Ijumaa, tarehe 03/06/2022, Baraza la Usalama lilipitisha Azimio nambari 2636, la kuongeza muda wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kusaidia Awamu ya Mpito nchini Sudan (UNITAMS) kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 06/03/2023, kwa kauli moja ya wajumbe wa Baraza la Usalama.

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Mubarak Abdul Hameed

Kwa kujisalimisha kikamilifu kwa Qadhaa na Qadar ya Mwenyezi Mungu (swt), Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan inamuomboleza mmoja wa wanachama wake, ambaye alitumia ujana wake kubeba ulinganizi wa kurudisha tena maisha kamili ya Kiislamu, kwa kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume, aliye samehewa kwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu (swt):

Soma zaidi...

Ujumbe Kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan Watoa Rambirambi kwa Kiongozi Abdul Rasoul Al-Nur

Jumamosi, tarehe 8/1/2022, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ukiongozwa na Sheikh Nassir Ridha Muhammad Othman, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, akifuatana na Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan, na Ust. Abdullah Hussein, Mratibu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano,

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu