Jumamosi, 11 Shawwal 1445 | 2024/04/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Mubarak Abdul Hameed

Kwa kujisalimisha kikamilifu kwa Qadhaa na Qadar ya Mwenyezi Mungu (swt), Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan inamuomboleza mmoja wa wanachama wake, ambaye alitumia ujana wake kubeba ulinganizi wa kurudisha tena maisha kamili ya Kiislamu, kwa kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume, aliye samehewa kwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu (swt):

Soma zaidi...

Ujumbe Kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan Watoa Rambirambi kwa Kiongozi Abdul Rasoul Al-Nur

Jumamosi, tarehe 8/1/2022, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ukiongozwa na Sheikh Nassir Ridha Muhammad Othman, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, akifuatana na Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan, na Ust. Abdullah Hussein, Mratibu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano,

Soma zaidi...

Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Sudan Volker Perthes Atafuta Kuvileta Pamoja Vyama vya Kisiasa nchini Sudan, kwa Njia ya Kiamerika

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan, Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan, Volker Perthes, alizindua mpango ambao alisema ni wa kukusanya vyama vya Sudan ili kujiondoa katika mzozo wa sasa wa kisiasa kwa mashauriano na kile alichokiita washirika wa Sudan na wa kimataifa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu