Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Wako Wapi Maafisa wa Jeshi Watakaoviongoza Vikosi vya Jeshi la Khilafah Kuihami Heshima ya Mtume (saw)?!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Dola ya Kibaniani imeishambulia wazi wazi heshima ya Mtume ﷺ, huku ikiyasaidia makundi yake yenye silaha kuvunja misikiti na kuwachinja Waislamu.