Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 363
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wiki hii, mawaziri na wanadiplomasia kutoka sehemu mbalimbali za dunia wanakusanyika mjini Glasgow kwa ajili ya Kongamano la 26 la Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, linalolenga kutibu kile ambacho wengi wamekitaja kuwa "dharura ya hali ya hewa" inayoikabili sayari ya dunia.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imekamilisha kampeni pana kwenye mitandao ya kijamii kwa anwani:
Leo tarehe 25/10/2021 wananchi wa Sudan wameamkia kuibuka kwa vuguvugu kutoka kwa jeshi lililowakamata baadhi ya mawaziri pamoja na idadi kadhaa ya washiriki katika serikali ya mpito ya kiraia na kisha kukamatwa kwa Waziri Mkuu Hamdok mwenyewe...
Maoni kwa Vyombo vya Habari ya Dkt. Ibrahim Al-Tamimi
Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Jordan inaomboleza kifo cha mbebaji Dawah: Hajj Abd Al-Raouf Muhammad Alyan Bani Atta (Abu Hudhayfah) ambaye alikwenda kwa rehema za Mwenyezi Mungu (swt) jana, Alhamisi 21/10/2021 akiwa na umri wa miaka 60;
Awamu ya sita ya kikao cha Kamati ya Katiba, ikiwa na sehemu zake mbili, mwakilishi wa serikali ya kihalifu na mwakilishi wa ule unaoitwa upinzani, ilianza Jumatatu, 18 Oktoba 2021, huu ni mkutano wa sita baada ya mikutano mitano kufeli.
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia ilifanya kikao na wanahabari kwa anwani: "Kukabiliana na Upuuzi wa Kisekula!"
Leo, Jumatano, tarehe 20/10/2021, raia wasiopungua 10 wameuawa na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, kutokana na mashambulizi ya mizinga yaliyofanywa na dhalimu wa Ash-Sham kwenye mji wa Ariha viungani mwa Idlib, iliyoko ndani ya eneo la upunguzaji kasi ya vita kaskazini mwa nchi.