Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 337
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 337
Vichwa Vikuu vya Toleo 337
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kwa anwani "Fanyeni Haraka katika Ramadhan Kuachwa Huru na Kutaka Kuachwa Huru"
Watawala wa Pakistan wanaendelea kuukumbatia ulazimishaji wa kiuchumi kuliko masuala ya heshima ya Mtume (saw), Kashmir Iliyokaliwa na kulinda ushawishi wa Marekani nchini Afghanistan.
Vichwa Vikuu vya Toleo 336
Hivi kuna uwezekano wakuishi maisha bora ya kiuwanajeshi zaidi ya yale aliyoishi Sa’ad ibn Mu’adh (ra) ambaye alitoa Nusra ya kusimamisha Uislamu kama serikali na kisha akawang'oa maadui katika vita vya Badr?
Vichwa Vikuu vya Toleo 335