Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 270
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 270
Vichwa Vikuu vya Toleo 270
Minbar Ummah: “Taarifa ya Baraza la Shura la familia zilizokusanyika katika kijiji cha Deir Hassan chenye Makao Makuu ya Tahrir al-Sham wanaohusika na usalama wa wafungwa!
Maandamano mbele ya msikiti kwenye makutano ya Kambi ya Al Salem, mashambani mwa Idlib, kwa kichwa, "Kutoka Killi hadi Kambini, Mapinduzi dhidi ya Viongozi."
Majadiliano Mubashara na Wabebaji Da’wah Maarufu pamoja na vipindi vingine katika matangazo maalumu juu ya Maadhimisho ya Ukombozi wa Konstantinopoli.
Vichwa Vikuu vya Toleo 269
Maandamano kwa kichwa, "Kutoka Killi hadi Kambini, Mapinduzi dhidi ya Viongozi." kutoka Msikiti wa Shayma Al-Mutairi hadi kwenye makutano ya Atmaa magharibi ya kuunga mkono Killi dhidi ya kukandamizwa na matakwa ya Hayat Tahrir Asham.
Hizb ut Tahrir / Scandinavia ili toa mchango wake katika kampeni hii ya kiulimwengu. Sifa zote zinastahiki Mwenyezi Mungu (swt)
Chini ya muongozo wa Amir wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu Swt Amuhifadhi, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio la Kumbukumbu ya Hijiria ya Ukombozi wa Kostantinopoli #Kostantinopol...
Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ili zindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio Adhimu la Hvijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraclius) ambao ulizungukwa kuanzia mnamo 26 Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili mpaka 29 Mei 1453 M na hivyo bishara njema ya Hadith tukufu ya Nabii (saw) ikatimia:
Hizb ut Tahrir /Crimea iliadhimisha wakati kampeni hii ya kilimwengu. Sifa Njema zote anastahiki Mwenyezi Mungu (swt).