Hizb ut Tahrir / Amerika: Salam za Eid al- Fitr 1440 H
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Amerika: Salam za Eid al- Fitr 1440 H
Hizb ut Tahrir / Amerika: Salam za Eid al- Fitr 1440 H
Michango ya mashababu wa Hizb ut Tahrir wakati wa Kongamano la Tatu – Dhidi ya Ufisadi lililokuwa kwa anwani “Ufisadi wa Kisiasa” lililo andaliwa na Baraza la Mahakama kuhusu Sheria, Haki na Usalama –Tunisia.
Hukumu ya Mounir Amara, afisa wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Tunisia
Ikiwa ni sehemu ya matukio ya kiulimwengu yaliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir kukumbuka kuvunjwa kwa Khilafah (28 Rajab) ili kuuamsha Ummah wa Kiislamu na kunoa maamuzi yake.
Kalima ya Dkt. Ismail Yusanto kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Kiidara wa Kuipiga Marufuku Hizb ut Tahrir
Warsha ilianza kwa kusomwa Aya za Qur’an Tukufu katika ukumbi uliojaa wageni waheshimiwa, kisha kufuatiwa na hotuba ya ndugu Muhammad Yassin, “Hitajio la Utu katika Ufunuo” na vipi ummah unaamini ufunuo huu na kuweza kuongoza kwa mwamko sahihi.
Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney
Katika kuitikia maelekezo ya mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al- Rashtah, Amiri wa Hizb ut Tahrir, ujumbe wa Hizb ut Tahrir ulitembelea Ubalozi wa China jijini Brussels kukabidhi taarifa kwa vyombo vya habari iliyo tolewa na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kwa anwani:
Ujumbe kwenda katika Ubalozi wa China katika Kuunga Mkono Watu wetu eneo la Turkistan Mashariki.
Zaidi ya wanachuoni 600, Masheikh na wahudumu wa Kiislamu, wakiwemo Habayeb na Maprofesa, walishiriki mkutano wa wanachuoni katika eneo la Madura / Java Mashariki, uliosadifiana na kumbukumbu la tukio la Isra na Miraaj ya Mtume (saw).