Jumapili, 22 Muharram 1446 | 2024/07/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ufyonzaji wa Urasilimali

Utaratibu wa ufuatiliaji wa serikali 'wa upande mmoja', madai ya mabwenyenye wa sukari na zaidi ya yote ufichaji umesababisha ongezeko la karibu Rs20 kwa kilo kwa bei ya sukari katika siku 15 zilizopita pekee, na kuwaacha watu waliokumbwa na mfumko wa bei wakiwa hawana chaguo ila kununua bidhaa hiyo kwa viwango vya juu. (Dawn News)

Soma zaidi...

Zanzibar Yahitaji Suluhisho la Kiislamu Sio Serikali ya Mseto ya Kidemokrasia

Mnamo tarehe 06/12/2020 chama kikuu cha upinzani cha Zanzibar Alliance for Change and Transparency-ACT-Wazalendo kilitangaza kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU). Halafu mnamo tarehe 07/12/2020, Rais Hussein Mwinyi alimteua Seif Sharrif Hamad wa ACT kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na mnamo 08/12/2020 sherehe ya kuapishwa ilifanyika Ikulu ya Zanzibar.

Soma zaidi...

Uchomaji wa Nguvu wa Maiti za Waathiriwa wa Kiislamu wa Covid-19 Nchini Sri Lanka Chini ya Utawala Ulio na Chuki na Waislamu Ambao Unalitumia Janga Hili la Maambukizi Kuzidisha Ajenda Yake Dhidi ya Uislamu

Uchomaji wa Nguvu wa Maiti za Waathiriwa wa Kiislamu wa Covid-19 Nchini Sri Lanka Chini ya Utawala Ulio na Chuki na Waislamu Ambao Unalitumia Janga Hili la Maambukizi Kuzidisha Ajenda Yake Dhidi ya Uislamu

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu