Mrundiko wa Deni la Kenya Kufikia Shilingi Trilioni 5.4 ni Thibitisho Kuwa Nidhamu ya Kiuchumi ya Kirasilimali Imefeli
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kenya inalipa shilingi bilioni 658.2 dhidi ya shilingi trilioni 1.4 katika mapato tarajiwa ya ushuru hii ikimaanisha kuwa nusu ya pesa zote zilizo kusanywa na Halmashauri ya Ukusanyaji Ushuru ya Kenya (KRA) zinatumika katika ulipaji deni.