Jumamosi, 18 Shawwal 1445 | 2024/04/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah Syria: Maandamano ya Wanawake ya Atma "Wanawake wa Kaskazini Wawaitikia Wanawake wa Daraa; ni Nani Basi kwa Ajili ya Wanawake Hawa Wote Atakayeijibu Fazaa"

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kwa anwani "Wanawake wa Kaskazini Wawaitikia Wanawake wa Daraa; ni Nani Basi kwa Ajili ya Wanawake Hawa Wote Atakayeijibu Fazaa!"

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa Khilafah

Mwezi wa Rajab mwaka huu ni kumbukumbu ya tukio la kusikitisha katika historia ya Ummah wa Kiislamu, miaka 100 ya Hijria tangu kuanguka kwa dola yake tukufu na uongozi wake wa Kiislamu: Khilafah mikononi mwa adui wa Uislamu Mustafa Kemal na serikali za kikoloni za Magharibi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu