Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
Mwezi wa Rajab mwaka huu ni kumbukumbu ya tukio la kusikitisha katika historia ya Ummah wa Kiislamu, miaka 100 ya Hijria tangu kuanguka kwa dola yake tukufu na uongozi wake wa Kiislamu: Khilafah mikononi mwa adui wa Uislamu Mustafa Kemal na serikali za kikoloni za Magharibi.
Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake "Udhalilifu Huu Utaendelea Mpaka Lini Enyi Ummah wa Kiislamu"!
Kitengo cha wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir kimezindua kampeni pana ya kunyanyua utambuzi wa kiulimwengu juu ya dhulma kubwa na ukiukaji ambao Waislamu wanakabiliwa nao nchini Sri Lanka,
Wilayah ya Tunisia: Kisimamo cha Kitengo cha Wanawake mbele ya Bunge, "Imetosha Kuchochea dhidi ya Hukmu za Sharia kwa kutumikia Ajenda za Kigeni."
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Uchomaji kwa Nguvu wa Waathiriwa wa Kiislamu wa COVID-19 Nchini Sri Lanka; Vipi Tunapaswa Kujibu?!
Mnamo Aprili mwaka huu 2020, serikali ya Sri Lanka ilitoa kanuni inayoamuru kwamba wale wote wanaokufa kutokana na Covid-19 au ambao walikuwa na virusi vya ugonjwa huu wakati wa kifo walipaswa kuchomwa moto,
Hizb ut tahrir / Indonesia iliandaa matukio mengi ya umma kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Vazi la mwanamke wa Kiislamu, ima Khimar, jilbab au Niqab kamwe huwa haliko mbali na vyombo vya habari au kurunzi ya kisiasa ndani ya dola za kisekula.
Afisi Kuu ya Habari: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake "Komesha Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!"