Hotuba ya Tano Katika Kongamano: ‘Vijana Waislamu …Waanzilishi wa Mabadiliko Msingi’
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Dada zangu wapendwa na wageni waheshimiwa, mgogoro wa utambulisho unaoathiri wengi wa vijana wetu wa Kiislamu ni mojawapo ya kadhia sugu mno zenye kuathiri Ummah huu.