Pendekezo la Marufuku ya Hijab Shuleni nchini Denmark Laonyesha kwa Mara Nyingine Mstari Wazi Kati ya Usekula na Ufashisti
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 25 Agosti, Tume iliyoteuliwa na serikali ya Denmark ilipendekeza kupigwa marufuku kwa wasichana kuvaa Hijab katika shule za msingi kote nchini.