Al Waqiyah TV: Wito kwa Waislamu Wote, Na kwa Watu wa Ash-Sham Hasa!
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wito kwa Waislamu Wote, Na kwa Watu wa Ash-Sham Hasa!
Wito kwa Waislamu Wote, Na kwa Watu wa Ash-Sham Hasa!
Ripoti kuhusu jibu la swali lililotolewa na Amiri wa Hizb ut Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amhifadhi, kuhusu matukio ya Syria na kuanguka kwa utawala wa Assad.
Marekani, Kupitia Usitishwa Vita, inafikia Mambo Mawili Makuu kwa Uadui wa Kiyahudi...
Mwaka mmoja umepita tangu Kimbunga cha Gaza, ambacho kimetikisa misingi ya hadhara ya Magharibi na kuponda ponda simulizi ya jeshi lisiloweza kushindwa. Mwaka mmoja wa uchinjaji na mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza yametekelezwa na nchi za Magharibi zenye chuki na zingali zinaendelea kutekeleza kwa kulitumia umbile nyakuzi. Mwaka mzima wa kula njama na kufanya biashara ya umwagaji damu ambayo watawala wa Waislamu wamegeuka kuwa waovu, na kuwaongezea fedheha.
Al Waqiyah TV: Enyi Watawala katika Nchi za Waislamu ... Je, Hamuoni Aibu?!
Al Waqiyah TV: Mihemo ya Walio Imara... Mahojiano ya Moja kwa Moja kutoka Barabara za Gaza!
Filamu ya Hali Halisi “Kutoka Moyoni mwa Gaza!”
Pongezi kutoka kote ulimwengu kutoka kwa kundi la wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd Al-Adha 1445 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
Al Waqiyah TV: Baraza la Usalama liko “Mfukoni mwa Marekani” Likiendeshwa na Maslahi yake na Maslahi ya Mayahudi na Wakoloni Makafiri.