Hizb ut Tahrir / Uswidi: Vipi Tutaikomboa Palestina?
- Imepeperushwa katika Sweden
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uswidi:
Vipi Tutaikomboa Palestina?
Hizb ut Tahrir / Uswidi:
Vipi Tutaikomboa Palestina?
Kwa mwaliko kutoka kwa Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon, Swala ya Ijumaa iliswaliwa pamoja na kikao cha utafutaji nusra katika "Uwanja wa Al-Nour" jijini Tripoli Al-Sham kwa kichwa "Nusra kwa watu wetu huko Gaza na kuyaomba nusra majeshi ya Umma na kuyataka kuvunja mipaka na kutangaza jihad.”
Kwa kuwaombea nusra Waislamu kupitia kuangushwa viti vya watawala wasaliti na kusonga kwa majeshi ili kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wahalifu.
Al-Waqiyah TV:
Je, Mnataka Jumuiya ya Kimataifa ikutendeeni Haki?!
Al-Waqiyah TV:
Maswali kadhaa na Jibu Moja!
Al-Waqiyah TV:
Ujumbe wa Haraka: “Enyi Majeshi… Vimalizeni Vita!”
Serikali ya Ufaransa imeanzisha marufuku ya uvaaji wa Abayah katika shule za Ufaransa, ambayo ilianza kutekelezwa mwezi huu wa Septemba. Ilisema kwamba mavazi ya kidini yanahujumu kanuni za kisekula zinazounda msingi wa dola yake, na kutoegemea upande wowote wa kidini ndani ya shule.
Al Waqiyah TV: Risala ya Dharura, "Ndio kwa Suluhu.... Suluhu Ovu"
Kalima ya Ustadh Al-Qadir Yusuf Ahmad
Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Sweden
Pongezi kutoka kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd Al Adha 1444 H