Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir/ Uholanzi: Semina Maandamano ya Halaiki yenye Kichwa "Ikomboeni Palestina!"

Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa maandamano ya halaiki yenye kichwa "Ikomboeni Palestina" katika mji wa Amsterdam mnamo Jumapili 22/10/23 saa nane adhuhuri na kukamilika kwa kuyaomba majeshi na viongozi wake kutaharaki na kusonga kwa ajili ya kuikomboa Ardhi iliyobarikiwa ya Palestina.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali “Ijumaa – Majeshi kwenda Al-Aqsa”

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi linachoendelea na kudumu katika shambulizi lake linaloendelea kwa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji wake na ulipuaji mabomu wa Ukanda wa Gaza ambao umekuwa ikiendelea kwa miaka 17

Soma zaidi...

Mwito kwa Majeshi ya Ulimwengu wa Waislamu Kuinusuru Gaza ‘Harakisheni Majeshi Yenu Kuikomboa Gaza Na Al-Aqsa’

Leo Ijumaa 20 Oktoba 2023 Miladi / 05 Rabi’ al-Akhir 1445 Hijria baada ya Swala ya Ijumaa, Hizb ut Tahrir Tanzania ilifanya visimamo vya maandamano baridi (picketing) sehemu mbali mbali nchini kutoa mwito kwa majeshi ya nchi za Waislamu kuchangamsha majeshi yao kuikomboa Gaza, Palestina na Masjid Aqsa.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Tufani ya Twitter Operesheni Kimbunga cha Al Aqsa Ujumbe wa Dharura kwa Ummah wa Kiislamu na Majeshi yake!

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa – Palestina chini ya kauli mbiu ya Kimbunga cha Al-Aqsa dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi linaloendelea, na kuzidi katika mashambulizi yake kwa Msikiti Uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji wake na ulipuaji mabomu ambao umeendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir itafanya Tufani ya Twitter ambayo sasa inajulikana kama X chini ya kichwa:

Operesheni Kimbunga cha Al Aqsa Ujumbe wa Dharura kwa Ummah wa Kiislamu na Majeshi yake!

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: “Ima ikomboeni Palestina au fungueni njia kwa Umma!”

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi, ambalo linaendelea na kuzidi na hujuma yake inayoendelea dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na ulipuaji wake wa mabomu ambao umeendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Uturuki inaandaa mikesha jijini Ankara na Istanbul kwa kichwa:

“Ima ikomboeni Palestina au fungueni njia kwa Umma!”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu