Ijumaa, 15 Sha'aban 1446 | 2025/02/14
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Uhamishaji wa Watu wa Gaza

Al Jazeera ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 26/1/2025: “Rais wa Marekani Donald Trump alisema kwamba anaishinikiza Jordan, Misri na nchi nyingine za Kiarabu kupokea wakimbizi zaidi wa Kipalestina kutoka Gaza, baada ya vita vya Israel dhidi ya Ukanda huo kusababisha mgogoro wa kibinadamu. Alipoulizwa ikiwa hili lilikuwa pendekezo la muda au la muda mrefu, Trump alisema, “Inaweza kuwa hili au lile.”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Indonesia: Katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah “Palestina itakombolewa kupitia Khilafah na Jihad”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu (miaka 104 H) ya kuvunjwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu 1342 H sawia na 03/03/1924 M mikononi mwa wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, na kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) yaliyofanywa na umbile nyakuzi la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa matembezi makubwa katika mji mkuu wa Jakarta yenye kichwa “Palestina itakombolewa kupitia Khilafah na Jihad”.

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Mabadiliko Mapya ya Kisiasa nchini Lebanon

Ni yapi yanayojiri nchini Lebanon kuhusu wepesi wa makubaliano juu ya uteuzi wa Kamanda wa Jeshi Joseph Aoun kama rais mnamo 9 Januari 2025 baada ya nafasi hiyo kudumu kuwepo kwa zaidi ya miaka miwili, kisha siku chache baadaye makubaliano kwa Salam Nawaf kuwa kama waziri mkuu mnamo 13 Januari 2025? Haya yote yalitokeaje haraka hivyo? Je, kasi hii ina maana kwamba kazi ilikuwa na bado ingali inatayarishwa kubadilisha uso wa Lebanon ndani na nje, au ni mabadiliko ya kawaida, kama inavyotokea katika kanda hiyo?

Soma zaidi...

Hatimaye, Baada ya Mauaji ya Kutisha na Maangamizi Mabaya Yaliyofanywa na Mayahudi mjini Gaza… Na Baada ya Kimya cha Kuchukiza cha Watawala wa Waislamu…Trump Aanzisha Usitishaji Tete wa Vita

Mnamo tarehe 16 Januari 2025, tovuti ya Al Jazeera ilichapisha masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kuanza leo, Jumapili, Januari 19, 2025. Ilisema: [(Makubaliano ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza yalitangazwa katika mji mkuu wa Qatar, Doha kutekelezwa katika hatua 3.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu