Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu wa Kusimamisha Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Sehemu ya 47
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 11 Julai, 1995, majeshi ya Serbia yalivamia eneo la Waislamu la Srebrenica nchini Bosnia ambapo maelfu ya Waislamu walikuwa wametafuta himaya kutokana na mashambulizi ya jeshi la Serbia kaskazini mashariki mwa Bosnia.
Hizb ut Tahri / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Babka viungani mwa Aleppo kwa anwani "Utiifu kwa Wafuasi Unagongana na Utiifu kwa Mola wa Walimwengu!"
Na: Ndugu Mahmoud Abu Swateef – Viungani mwa Aleppo Kaskazini
Bila kuangalia, Modi, Raja Dahir wa enzi zetu, angeendelea na kutokujali kumwaga damu takatifu ya mama, dada, kaka na watoto wetu.
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Kah viungani wa Idlib kwa anwani "Tunavyo Viungo vya Ushindi"
Vichwa Vikuu vya Toleo 293
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi, viungani mwa Idlib, kwa anwani, "Tunavyo Viungo vya Ushindi!"
Hizb ut Tahrir / Wilaya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Ariha, viungani mwa Idlib, kulaani mapigano ya kimakundi katika maandalizi ya suluhisho la kisiasa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Atma, viungani mwa Idlib, kwa anwani, "Tunavyo Viungo vya Ushindi!"