Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 292
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Kitengo cha wanawake katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan kiliandaa warsha ya wanawake kwa anwani "Ubebaji Ulinganizi wa Kiislamu" iliyo wasilishwa na Mheshimiwa dada Najah Al-Sabatin (Umm Mu'adh)
Iliyotolewa na: Mhandisi Ismail Al-Wahwah
Vichwa Vikuu vya Toleo 291
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria: Kisimamo katika Kambi za Atma kwa Anwani ((قل للذين كفروا ستغلبون)) "Waambie walio kufuru: Karibuni mtashindwa...!" (Aali Imran: 12)
Kusimamisha nidhamu za Kiislamu ndiyo njia pekee ya ukombozi kwa watu wote, hususan Waamerika wenye asili ya Kiafrika, kwa kuonesha kwamba uraia wa daraja la pili ni wa kudumu.
Kwa kuizamisha Pakistan ndani ya Deni Lenye Misingi ya Riba, Serikali ya PTI Inawanyima Masikini, ili Kudhamini Faida kwa Wawekeza wa Ndani na wa Kigeni kama vile ilivyo kuwa serikali za kifisadi zilizotangulia, serikali ya PTI imeizamisha Pakistan katika Deni lenye msingi wa Riba, ikiwanyang’anya masikini haki yao kutoka katika Hazina ya Dola.
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Syria iliandaa kisimamo mjini Atma, viungani mwa Idlib kwa anwani, "Waambie walio kufuru: Karibuni mtashindwa..." (Surah Al Imran Aya 12)
Vichwa Vikuu vya Toleo 290
Al-Waqiyah TV Tathmini ya Vichwa Vikuu vya Habari!