Ushenzi ni Ufaransa na Historia yake ni Mbaya na Nyeusi, Ewe Macron
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Utovu wa nidhamu wa Rais wa Ufaransa Macron umefikia kilele chake kwa kauli zake za kishenzi alizozitoa katika Bunge la Morocco mnamo siku ya Jumanne, 29/10/2024; kuwakashifu Mujahidina nchini Palestina, wanaotetea ardhi na haki zao, kama “washenzi”, na kudai kwamba umbile, halifu vamizi la Kiyahudi lina haki ya kujilinda.