Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tangazo la Natija ya Kuutafuta Mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan wa Mwaka 1443 Hijri

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwingi  Kurehemu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, aliyeteremsha Qur'an na akatuchagulia Uislamu kuwa ndio Dini yetu, na rehma na amani zimshukie yule aliye anzisha Umma wa Kiislamu, bwana wa viumbe, bwana wetu Muhammad na juu ya familia yake na maswahaba zake wote.

Soma zaidi...

Khilafah ni Tunda Linaloweza Kufikiwa, Basi Harakisheni katika Kulichuma, Enyi Waislamu!

Mwezi wa Rajab huregea kila mwaka na huleta kumbukumbu nyingi zinazowafurahisha Waislamu, lakini mwezi wa Rajab unabeba kwa kizazi hiki cha Umma wa Kiislamu kumbukumbu maalum ambayo haiwezi kupuuzwa, ambayo ni kumbukumbu ya kuvunjwa Khilafah katika mwezi wa Rajab wa mwaka 1342 Hijria.

Soma zaidi...

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Watembelea Ubalozi wa Uswidi jijini Beirut Kutaka Kusitishwa kwa Uhamisho wa Odiljon Jalilov hadi Uzbekistan

Mnamo siku ya Ijumaa, tarehe 12/11/2021, Ujumbe wa Hizb ut Tahrir ukiongozwa na Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, Mh. Salah Eddine Adada, akifuatana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir nchini Lebanon Mh. Saleh Salam,

Soma zaidi...

Enyi Waislamu wa India! Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) amesema, “Yeyote anayeuwawa kwa kutetea mali yake ni shahidi, na yeyote anayeuwawa kwa kutetea Dini ni shahidi, na yeyote anayeuwawa kwa kutetea damu yake ni shahidi na yeyote anayeuwawa kwa kutet

Ulimwengu ulishuhudia, kwenye mitandao ya kijamii, kipande cha video cha kutisha kinachoonyesha polisi wa India wakiwafyatulia risasi wakaazi wa kitongoji cha Waislamu, katika jimbo la Assam kaskazini mashariki mwa India,

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu